Yohana 8:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu. Waroma 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo ilitokana na imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi+ iwe hakika kwa uzao+ wake wote, si kwa ule tu unaoshikamana na Sheria, bali pia kwa ule unaoshikamana na imani ya Abrahamu. (Yeye ndiye baba+ yetu sote,
39 Wakajibu, wakamwambia: “Baba yetu ni Abrahamu.”+ Yesu akawaambia: “Ikiwa ninyi ni watoto wa Abrahamu,+ fanyeni kazi za Abrahamu.
16 Kwa hiyo ilitokana na imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi+ iwe hakika kwa uzao+ wake wote, si kwa ule tu unaoshikamana na Sheria, bali pia kwa ule unaoshikamana na imani ya Abrahamu. (Yeye ndiye baba+ yetu sote,