Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndiyo sababu ni kupitia imani, ili iwe kulingana na fadhili zisizostahiliwa,+ kusudi ahadi iwe hakika kwa uzao wake* wote,+ si kwa wale tu wanaoshika Sheria, bali pia kwa wale wanaoshika imani ya Abrahamu, ambaye ni baba yetu sote.+

  • Waroma 4:16
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 16 Kwa ajili ya hilo ilikuwa kama tokeo la imani, ili ipate kuwa kulingana na fadhili isiyostahiliwa, kusudi ahadi iwe hakika kwa mbegu yake yote, si kwa ile tu ishikamanayo sana na Sheria, bali pia kwa ile ishikamanayo sana na imani ya Abrahamu. (Yeye ni baba yetu sote,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki