Waroma 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana+ kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ tulizopewa, kama ni unabii, na tutoe unabii kulingana na imani tuliyogawiwa; 1 Wakorintho 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini ni roho ileile moja inayofanya utendaji huu wote,+ ikimgawia+ kila mtu mmoja mmoja kama vile inavyopenda.+ 2 Wakorintho 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Mungu apewe shukrani kwa ajili ya zawadi yake ya bure isiyoelezeka.+
6 Basi, kwa kuwa tuna zawadi zinazotofautiana+ kulingana na fadhili zisizostahiliwa+ tulizopewa, kama ni unabii, na tutoe unabii kulingana na imani tuliyogawiwa;
11 Lakini ni roho ileile moja inayofanya utendaji huu wote,+ ikimgawia+ kila mtu mmoja mmoja kama vile inavyopenda.+