Waroma 12:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja+ katika muungano na Kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine.+ 1 Wakorintho 6:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo+ vya Kristo?+ Basi, je, nitavichukua viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa viungo vya kahaba?+ Hilo lisitendeke kamwe! Waefeso 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ambalo ni mwili wake,+ ujazo+ wake anayejaza vitu vyote katika vyote.+
5 ndivyo sisi, ingawa tuko wengi, ni mwili mmoja+ katika muungano na Kristo, lakini viungo ambavyo kila kimoja ni cha kile kingine.+
15 Je, hamjui kwamba miili yenu ni viungo+ vya Kristo?+ Basi, je, nitavichukua viungo vya Kristo na kuvifanya kuwa viungo vya kahaba?+ Hilo lisitendeke kamwe!