Mathayo 13:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 “Ufalme wa mbinguni ni kama hazina iliyofichwa katika shamba, ambayo mtu aliipata na kuificha; na kwa sababu ya shangwe aliyo nayo, anaenda na kuuza+ vitu alivyo navyo na kulinunua shamba hilo.+
44 “Ufalme wa mbinguni ni kama hazina iliyofichwa katika shamba, ambayo mtu aliipata na kuificha; na kwa sababu ya shangwe aliyo nayo, anaenda na kuuza+ vitu alivyo navyo na kulinunua shamba hilo.+