Kumbukumbu la Torati 26:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nawe utashangilia+ mema yote ambayo Yehova Mungu wako amekupa wewe na nyumba yako, wewe na Mlawi na mkaaji mgeni aliye katikati yako.+ Zaburi 97:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Shangilieni katika Yehova, enyi waadilifu,+Na kutoa shukrani kwa ukumbusho wake mtakatifu.+ Isaya 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Umelifanya hilo taifa kuwa na watu wengi;+ umefanya kuwe na shangwe kuu kwa ajili yake.+ Wameshangilia mbele zako kama kwa shangwe ya wakati wa mavuno,+ kama wale walio na shangwe wakati wanapogawana nyara.+ 1 Wathesalonike 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Shangilieni sikuzote.+
11 Nawe utashangilia+ mema yote ambayo Yehova Mungu wako amekupa wewe na nyumba yako, wewe na Mlawi na mkaaji mgeni aliye katikati yako.+
3 Umelifanya hilo taifa kuwa na watu wengi;+ umefanya kuwe na shangwe kuu kwa ajili yake.+ Wameshangilia mbele zako kama kwa shangwe ya wakati wa mavuno,+ kama wale walio na shangwe wakati wanapogawana nyara.+