Waefeso 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa hiyo nawaomba ninyi msife moyo kwa sababu ya hizi dhiki+ zangu kwa ajili yenu, kwa maana hizi zinamaanisha utukufu kwenu. Waebrania 10:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 nyakati fulani mkifunuliwa wazi kama katika jumba la maonyesho+ kwenye shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlipokuwa washiriki pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na jambo la namna hiyo.+
13 Kwa hiyo nawaomba ninyi msife moyo kwa sababu ya hizi dhiki+ zangu kwa ajili yenu, kwa maana hizi zinamaanisha utukufu kwenu.
33 nyakati fulani mkifunuliwa wazi kama katika jumba la maonyesho+ kwenye shutuma na dhiki pia, na nyakati fulani mlipokuwa washiriki pamoja na wale waliokuwa wakipatwa na jambo la namna hiyo.+