7 Kwa maana Yehova Mungu wako amekubariki wewe katika kila tendo la mkono wako.+ Anajua vema juu ya kutembea kwako katika nyika hii kuu. Miaka hii 40+ Yehova Mungu wako amekuwa pamoja nawe. Hukukosa kitu chochote.”’+
8 Zaidi ya hayo, Mungu anaweza kufanya fadhili zake zote zisizostahiliwa ziwe nyingi kuwaelekea ninyi, ili, ijapokuwa sikuzote mna ujitoshelevu kamili katika kila kitu, muwe na vingi kwa ajili ya kila kazi njema.+