1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+ 1 Petro 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mkaribishane bila kunung’unika.+