Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 32:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na kila mmoja atakuwa kama mahali pa kujificha kutokana na upepo na mahali pa kujificha kutokana na dhoruba ya mvua,+ kama vijito vya maji katika nchi isiyo na maji,+ kama kivuli cha mwamba mzito katika nchi iliyochoka.+

  • Wafilipi 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Kwa hiyo mkaribisheni+ kama ilivyo desturi katika Bwana kwa shangwe yote; nanyi mwendelee kuwaheshimu sana watu wa namna hiyo,+

  • 1 Timotheo 5:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Wanaume wazee wanaosimamia+ kwa njia nzuri wahesabiwe kustahili heshima+ mara mbili, hasa wale wanaofanya kazi kwa bidii katika kusema na kufundisha.+

  • Waebrania 13:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakumbukeni wale ambao wanaongoza katikati yenu,+ ambao wamelisema neno la Mungu kwenu, nanyi mnapotafakari jinsi mwisho wa mwenendo wao unavyokuwa, igeni+ imani yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki