Matendo 20:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo, 1 Wakorintho 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana lazima pia yaweko madhehebu+ katikati yenu, ili watu waliokubaliwa wapate pia kufunuliwa katikati yenu.+ 1 Yohana 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watoto wachanga, ni saa ya mwisho,+ na, kama vile ambavyo mmesikia kwamba mpinga-Kristo anakuja,+ hata sasa kumekuwa na wapinga-Kristo wengi;+ uhakika ambao kutokana nao tunajua kwamba ni saa ya mwisho.
29 Ninajua kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa-mwitu+ wenye kukandamiza wataingia katikati yenu nao hawatalitendea kundi kwa wororo,
19 Kwa maana lazima pia yaweko madhehebu+ katikati yenu, ili watu waliokubaliwa wapate pia kufunuliwa katikati yenu.+
18 Watoto wachanga, ni saa ya mwisho,+ na, kama vile ambavyo mmesikia kwamba mpinga-Kristo anakuja,+ hata sasa kumekuwa na wapinga-Kristo wengi;+ uhakika ambao kutokana nao tunajua kwamba ni saa ya mwisho.