Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa hiyo watumwa wa mwenye nyumba wakaja na kumwambia, ‘Bwana, je, hukupanda mbegu nzuri katika shamba lako?+ Imekuwaje basi lina magugu?’+

  • 2 Wathesalonike 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ni kweli, fumbo la uasi-sheria huu tayari linafanya kazi;+ lakini ni mpaka tu wakati atakapoondolewa njiani yule ambaye sasa ni kizuizi.+

  • 2 Yohana 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika ulimwengu,+ watu ambao hawamkiri Yesu Kristo kuwa alikuja katika mwili.+ Hao ndio yule mdanganyifu+ na mpinga-Kristo.+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Sababu yangu ni kwamba watu fulani wameingia ndani kisirisiri+ ambao tangu zamani za kale walitangulia kutajwa+ na Maandiko kwa ajili ya hukumu hii,+ watu wasiomwogopa Mungu,+ wanaozigeuza fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu+ na kumkana+ Mmiliki+ na Bwana+ wetu pekee, Yesu Kristo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki