37 Kama yeyote anafikiri kuwa yeye ni nabii au amepewa zawadi ya roho, acheni ayatambue mambo ninayowaandikia ninyi, kwa sababu hayo ni amri ya Bwana.+
11 na kufanya iwe shabaha yenu kuishi kwa utulivu+ na kukazia akili mambo yenu wenyewe+ na kufanya kazi kwa mikono yenu,+ kama vile tulivyowaagiza ninyi;