Waebrania 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 ambaye amekuwa hivyo, si kulingana na sheria ya amri inayotegemea mwili,+ bali kulingana na nguvu za uzima usioweza kuharibika,+ Waebrania 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo yeye anaweza pia kuwaokoa kwa ukamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu yeye yuko hai sikuzote ili kuwaombea.+
16 ambaye amekuwa hivyo, si kulingana na sheria ya amri inayotegemea mwili,+ bali kulingana na nguvu za uzima usioweza kuharibika,+
25 Kwa hiyo yeye anaweza pia kuwaokoa kwa ukamili wale wanaomkaribia Mungu kupitia yeye, kwa sababu yeye yuko hai sikuzote ili kuwaombea.+