Waroma 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+ 2 Wakorintho 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 bali kwamba kupitia usawazisho wa ziada yenu sasa hivi ijazie upungufu wao, ili ziada yao pia ije kujazia upungufu wenu, ili usawazisho uwepo.+
13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+
14 bali kwamba kupitia usawazisho wa ziada yenu sasa hivi ijazie upungufu wao, ili ziada yao pia ije kujazia upungufu wenu, ili usawazisho uwepo.+