Kutoka 34:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+ Waroma 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+ Waefeso 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini Mungu, aliye tajiri katika rehema,+ kwa upendo wake mkubwa aliotupenda nao,+
6 Na Yehova akapita karibu mbele ya uso wake na kutangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na neema,+ si mwepesi wa hasira+ naye ni mwingi wa fadhili zenye upendo+ na kweli,+
15 Kwa maana yeye anamwambia Musa: “Nitamwonyesha rehema yeyote ninayetaka kumwonyesha rehema, nami nitamwonyesha huruma yeyote ninayetaka kumwonyesha huruma.”+