7 Ni sawa kabisa kwangu kufikiri hili kuwahusu ninyi nyote, kwa sababu ya mimi kuwa nanyi katika moyo wangu,+ ninyi nyote mkiwa washiriki+ pamoja nami katika fadhili zisizostahiliwa, katika vifungo vyangu vya gereza+ na katika kutetea+ na kuithibitisha kisheria+ habari njema.
20 Kwa maana kuna sifa gani katika jambo ikiwa mnapofanya dhambi na kupigwa makofi, mnavumilia?+ Lakini ikiwa, mnapotenda mema na kuteseka,+ mnavumilia, jambo hilo ni lenye kukubalika kwa Mungu.+