Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 22:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini, tazama! furaha na shangwe, kuchinja ng’ombe na kuchinja kondoo, kula nyama na kunywa divai,+ ‘Na tule na tunywe, kwa maana kesho tutakufa.’”+

  • Amosi 6:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ninyi watu mnaojilaza katika vitanda vya pembe za tembo+ na kujitandaza katika vitanda vyao, na mnaokula kondoo-dume kati ya kundi na ng’ombe-dume wachanga kutoka kati ya ndama waliononeshwa;+

  • Luka 16:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini Abrahamu akasema, ‘Mwanangu, kumbuka kwamba ulipokea kwa ukamili vitu vyako vyema katika maisha yako, lakini Lazaro alipokea mabaya. Hata hivyo, sasa anapata faraja hapa lakini wewe umo katika maumivu makali.+

  • 1 Timotheo 5:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini mwanamke anayejiingiza katika tamaa za mwili+ amekufa+ ingawa yuko hai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki