Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Si kila mtu anayeniambia, ‘Bwana, Bwana,’ atakayeingia katika ufalme wa mbinguni, bali yule anayefanya+ mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni ndiye atakayeingia.+

  • Waroma 12:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Shirikini pamoja na watakatifu kulingana na mahitaji yao.+ Fuateni mwendo wa ukaribishaji-wageni.+

  • 1 Timotheo 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini ikiwa mjane yeyote ana watoto au wajukuu, acha hao wajifunze kwanza kuzoea ujitoaji-kimungu nyumbani+ kwao wenyewe na kuendelea kuwalipa wazazi+ na wazazi wa wazazi wao malipo yanayowastahili, kwa maana hilo linakubalika machoni pa Mungu.+

  • Waebrania 10:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Na acheni tufikiriane ili kuchocheana+ katika upendo na matendo mazuri,+

  • Yakobo 1:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Namna ya ibada iliyo safi+ na isiyotiwa unajisi+ kwa maoni ya Mungu wetu na Baba ni hii: kuwatunza mayatima+ na wajane+ katika dhiki+ yao, na kuendelea kujitunza bila doa+ kutokana na ulimwengu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki