Kumbukumbu la Torati 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 lakini anayemlipa usoni pake yule anayemchukia kwa kumwangamiza.+ Hatasitasita kuelekea yule anayemchukia; atamlipa usoni pake. Isaya 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+
10 lakini anayemlipa usoni pake yule anayemchukia kwa kumwangamiza.+ Hatasitasita kuelekea yule anayemchukia; atamlipa usoni pake.
21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+