Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+

      Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+

  • Zaburi 68:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kama vile moshi unavyofukuziwa mbali, na uwafukuzie mbali vivyo hivyo;+

      Kama vile nta inavyoyeyuka kwa sababu ya moto,+

      Waovu na waangamie vivyo hivyo kutoka mbele za Mungu.+

  • Methali 2:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+

  • Isaya 59:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Atatoa thawabu kulingana na matendo,+ ghadhabu kwa adui zake, atawatendea adui zake kama vile inavyostahili.+ Atavilipa visiwa tendo linalostahili.+

  • Nahumu 1:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili+ na hulipiza kisasi; Yehova analipiza kisasi+ naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu.+ Yehova anawalipiza kisasi wapinzani wake,+ naye ana kinyongo juu ya adui zake.+

  • 2 Petro 3:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Lakini kwa neno hilohilo mbingu+ na dunia+ za sasa zimewekwa akiba kwa ajili ya moto+ nazo zinahifadhiwa mpaka ile siku ya hukumu+ na ya kuangamizwa kwa watu wasiomwogopa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki