Waroma 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana ukitangaza waziwazi lile ‘neno lililo katika kinywa chako mwenyewe,’+ kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuonyesha imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ utaokolewa.+ 1 Yohana 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kila mtu anayemkana Mwana hana Baba pia.+ Yeye anayemkiri+ Mwana ana Baba pia.+
9 Kwa maana ukitangaza waziwazi lile ‘neno lililo katika kinywa chako mwenyewe,’+ kwamba Yesu ni Bwana,+ na kuonyesha imani moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ utaokolewa.+