Yohana 14:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kama mngekuwa mmenijua, mngekuwa mmemjua Baba yangu pia; tangu dakika hii na kuendelea ninyi mnamjua na mmemwona.”+ 1 Yohana 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+
7 Kama mngekuwa mmenijua, mngekuwa mmemjua Baba yangu pia; tangu dakika hii na kuendelea ninyi mnamjua na mmemwona.”+
15 Yeyote anayekiri kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,+ Mungu hukaa katika muungano na mtu huyo na yeye katika muungano na Mungu.+