Waroma 12:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Na acheni kufanyizwa+ kulingana na mfumo huu wa mambo, bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi+ ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu. 1 Wakorintho 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 na wale wanaoutumia ulimwengu+ wawe kama wale wasioutumia kwa ukamili; kwa maana tamasha ya ulimwengu huu inabadilika.+ Waefeso 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima,
2 Na acheni kufanyizwa+ kulingana na mfumo huu wa mambo, bali mgeuzwe kwa kufanya upya akili yenu,+ ili mjihakikishie wenyewe+ mapenzi+ ya Mungu yaliyo mema na yenye kukubalika na makamilifu.
31 na wale wanaoutumia ulimwengu+ wawe kama wale wasioutumia kwa ukamili; kwa maana tamasha ya ulimwengu huu inabadilika.+
15 Kwa hiyo endeleeni kuangalia sana kwamba jinsi mnavyotembea+ si kama watu wasio na hekima bali kama watu wenye hekima,