Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 7:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.

  • Mathayo 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+

  • Mathayo 24:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+

  • 2 Wathesalonike 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ni kweli, fumbo la uasi-sheria huu tayari linafanya kazi;+ lakini ni mpaka tu wakati atakapoondolewa njiani yule ambaye sasa ni kizuizi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki