Mathayo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua. Mathayo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+ Mathayo 24:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+ 2 Wathesalonike 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ni kweli, fumbo la uasi-sheria huu tayari linafanya kazi;+ lakini ni mpaka tu wakati atakapoondolewa njiani yule ambaye sasa ni kizuizi.+
15 “Jihadharini na manabii wa uwongo+ ambao wanakuja kwenu katika mavazi ya kondoo,+ lakini ndani wao ni mbwa-mwitu+ wenye kunyafua.
23 Na hata hivyo nitawaambia waziwazi: Sikuwajua ninyi kamwe!+ Ondokeni kwangu, ninyi wenye matendo ya uasi-sheria.+
24 Kwa maana Makristo wa uwongo+ na manabii wa uwongo+ watatokea na kutoa ishara+ kubwa na maajabu ili kuwapotosha, ikiwezekana, hata wale waliochaguliwa.+
7 Ni kweli, fumbo la uasi-sheria huu tayari linafanya kazi;+ lakini ni mpaka tu wakati atakapoondolewa njiani yule ambaye sasa ni kizuizi.+