3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.
10 “ ‘Nilituma kati yenu ninyi tauni kama ile ya Misri.+ Niliwaua vijana wenu kwa upanga,+ pamoja na kuchukua mateka farasi zenu.+ Nami nikaendelea kufanya harufu ya kunuka ya kambi zenu ipande hata kuingia puani mwenu;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.