Waamuzi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Siku hiyo Debora+ pamoja na Baraka+ mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:+ 2 Samweli 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+ Ufunuo 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+
22 Daudi akamwimbia Yehova maneno ya wimbo huu+ siku ambayo Yehova alimwokoa kutoka mikononi mwa maadui wake wote+ na kutoka mikononi mwa Sauli.+
3 Walikuwa wanaimba wimbo wa Musa+ mtumwa wa Mungu na wimbo wa Mwanakondoo,+ wakisema: “Matendo yako ni makuu na ya ajabu,+ Yehova* Mungu, Mweza-Yote.+ Njia zako ni za uadilifu na za kweli,+ Mfalme wa umilele.+