Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na Waisraeli wakamwimbia Yehova wimbo huu:+ “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.+ Waamuzi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Siku hiyo Debora+ pamoja na Baraka+ mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:+
15 Wakati huo Musa na Waisraeli wakamwimbia Yehova wimbo huu:+ “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana amekwezwa sana.+ Farasi na mpandaji wake amewavurumisha baharini.+