40 Hivyo Yoshua akaiteka nchi yote kutia ndani eneo lenye milima, Negebu, Shefela,+ na miteremko, na kuwashinda wafalme wao wote, na hakuna yeyote aliyebaki; alimwangamiza kila kiumbe anayepumua,+ kama Yehova Mungu wa Israeli alivyoamuru.+
16 Yoshua aliiteka nchi hii yote: eneo lenye milima, eneo lote la Negebu,+ nchi yote ya Gosheni, Shefela,+ Araba,+ na eneo lenye milima la Israeli na maeneo yake ya Shefela,*