Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mpaka huo ukapanda hadi Bonde la Mwana wa Hinomu+ kwenye mteremko wa jiji la Wayebusi+ upande wa kusini, yaani, Yerusalemu,+ nao ukapanda hadi juu ya mlima unaotazamana na Bonde la Hinomu upande wa magharibi, yaani, mwisho kabisa wa Bonde la* Refaimu upande wa kaskazini.

  • Yoshua 15:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Lakini watu wa kabila la Yuda hawakuwafukuza+ Wayebusi+ waliokuwa wakikaa Yerusalemu,+ basi tangu wakati huo Wayebusi wanakaa Yerusalemu pamoja na watu wa kabila la Yuda.

  • Yoshua 18:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Zela,+ Ha-elefu, Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea,+ na Kiriathi—majiji 14 na vijiji vyake.

      Huo ndio uliokuwa urithi wa wazao wa Benjamini kulingana na koo zao.

  • Waamuzi 1:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kisha watu wa Yuda wakashambulia jiji la Yerusalemu+ na kuliteka; wakawaua wakaaji wake kwa upanga na kuliteketeza jiji.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki