8 Na mpaka huo ukapanda hadi Bonde la Mwana wa Hinomu+ kwenye mteremko wa jiji la Wayebusi+ upande wa kusini, yaani, Yerusalemu,+ nao ukapanda hadi juu ya mlima unaotazamana na Bonde la Hinomu upande wa magharibi, yaani, mwisho kabisa wa Bonde la* Refaimu upande wa kaskazini.
63 Lakini watu wa kabila la Yuda hawakuwafukuza+ Wayebusi+ waliokuwa wakikaa Yerusalemu,+ basi tangu wakati huo Wayebusi wanakaa Yerusalemu pamoja na watu wa kabila la Yuda.