Waamuzi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa wanaume Waisraeli walikuwa wameapa hivi kule Mispa:+ “Hakuna yeyote kati yetu atakayekubali binti yake aolewe na mwanamume Mbenjamini.”+ Waamuzi 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini haturuhusiwi kuwapa binti zetu wawe wake zao, kwa sababu Waisraeli wameapa hivi: ‘Alaaniwe yeyote anayempa Mbenjamini mke.’”+
21 Sasa wanaume Waisraeli walikuwa wameapa hivi kule Mispa:+ “Hakuna yeyote kati yetu atakayekubali binti yake aolewe na mwanamume Mbenjamini.”+
18 Lakini haturuhusiwi kuwapa binti zetu wawe wake zao, kwa sababu Waisraeli wameapa hivi: ‘Alaaniwe yeyote anayempa Mbenjamini mke.’”+