Yoshua 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki* sehemu kubwa ya nchi. Yoshua 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 upande wa kusini; nchi yote ya Wakanaani; Meara, ambayo ni ya Wasidoni,+ hadi Afeki, kwenye mpaka wa Waamori; Waamuzi 1:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Waasheri hawakuwafukuza wakaaji wa Ako, Sidoni,+ Alabu, Akzibu,+ Helba, Afiki,+ na Rehobu.+
13 Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki* sehemu kubwa ya nchi.
4 upande wa kusini; nchi yote ya Wakanaani; Meara, ambayo ni ya Wasidoni,+ hadi Afeki, kwenye mpaka wa Waamori;