30Daudi na wanaume wake walipofika Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ walikuwa wamevamia upande wa kusini* na pia Siklagi, nao walikuwa wameshambulia Siklagi na kuliteketeza kwa moto.
12Hao ndio wanaume walioenda kumwona Daudi kule Siklagi+ wakati ambapo hakuwa na uhuru wa kutembea popote kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi, nao walikuwa miongoni mwa mashujaa hodari waliomuunga mkono vitani.+
20 Alipoenda Siklagi,+ watu hawa wa kabila la Manase walitoroka na kujiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu katika kabila la Manase.+