Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kura ya pili+ ilikuwa ya Simeoni, kwa ajili ya kabila la Simeoni+ kulingana na koo zao. Nao walipewa urithi kati ya urithi wa kabila la Yuda.+

  • Yoshua 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Siklagi,+ Beth-markabothi, Hasar-susa,

  • 1 Samweli 30:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Daudi na wanaume wake walipofika Siklagi+ siku ya tatu, Waamaleki+ walikuwa wamevamia upande wa kusini* na pia Siklagi, nao walikuwa wameshambulia Siklagi na kuliteketeza kwa moto.

  • 2 Samweli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Baada ya kifo cha Sauli, Daudi aliporudi baada ya kuwashinda* Waamaleki, alikaa Siklagi+ kwa siku mbili.

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hao ndio wanaume walioenda kumwona Daudi kule Siklagi+ wakati ambapo hakuwa na uhuru wa kutembea popote kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi, nao walikuwa miongoni mwa mashujaa hodari waliomuunga mkono vitani.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alipoenda Siklagi,+ watu hawa wa kabila la Manase walitoroka na kujiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu, na Zilethai, viongozi wa maelfu katika kabila la Manase.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki