Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa Wafilisti walikuwa wakipigana na Waisraeli.+ Na wanaume wa Israeli wakawakimbia Wafilisti, na wengi wakauawa kwenye Mlima Gilboa.+

  • 2 Samweli 1:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Enyi milima ya Gilboa,+

      Msipate umande wowote wala mvua yoyote,

      Wala mashamba yanayozaa michango mitakatifu,+

      Kwa sababu ngao ya wenye nguvu ilichafuliwa huko,

      Sasa ngao ya Sauli haijatiwa mafuta.

  • 2 Samweli 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo Daudi akaenda na kuchukua mifupa ya Sauli na mifupa ya Yonathani mwana wake kutoka kwa viongozi* wa Yabesh-gileadi,+ waliokuwa wameiba mifupa hiyo katika uwanja wa jiji la Beth-shani, ambako Wafilisti walikuwa wamewatundika siku ambayo walimuua Sauli juu ya Gilboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki