Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 28:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Wafilisti wakakusanyika na kwenda kupiga kambi Shunemu.+ Basi Sauli akawakusanya Waisraeli wote, nao wakapiga kambi Gilboa.+

  • 1 Samweli 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Sasa Wafilisti walikuwa wakipigana na Waisraeli.+ Na wanaume wa Israeli wakawakimbia Wafilisti, na wengi wakauawa kwenye Mlima Gilboa.+

  • 1 Samweli 31:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Wakaaji wa Yabeshi-gileadi+ waliposikia mambo ambayo Wafilisti walikuwa wamemtendea Sauli, 12 mashujaa wote wakaondoka na kusafiri usiku kucha, wakaondoa maiti za Sauli na wanawe kutoka kwenye ukuta wa Beth-shani. Wakarudi Yabeshi na kuzichoma moto huko.

  • 2 Samweli 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kijana huyo akajibu: “Nilifika kwenye Mlima Gilboa+ bila kutazamia, nikamwona Sauli akiwa ameegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi walikuwa wamemfikia.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Siku iliyofuata, Wafilisti walipokuja kuwavua waliouawa vitu walivyokuwa navyo, walimkuta Sauli na wanawe wakiwa wameanguka kwenye Mlima Gilboa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki