2 Samweli 15:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Daudi alipofika kwenye kilele, mahali ambapo watu walizoea kumwinamia Mungu, Hushai+ Mwarki+ alikuwa mahali hapo ili kumpokea, joho lake lilikuwa limeraruka na alikuwa na mavumbi kichwani. 2 Samweli 15:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Basi Hushai rafiki ya*+ Daudi akaingia jijini Absalomu alipokuwa akiingia Yerusalemu. 1 Mambo ya Nyakati 27:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ahithofeli+ alikuwa mshauri wa mfalme, na Hushai+ Mwarki alikuwa rafiki ya* mfalme.
32 Daudi alipofika kwenye kilele, mahali ambapo watu walizoea kumwinamia Mungu, Hushai+ Mwarki+ alikuwa mahali hapo ili kumpokea, joho lake lilikuwa limeraruka na alikuwa na mavumbi kichwani.