16 Hushai+ Mwarki,+ rafiki ya Daudi, alipoingia kwa Absalomu, alimwambia hivi Absalomu: “Mfalme na aishi muda mrefu!+ Mfalme na aishi muda mrefu!” 17 Ndipo Absalomu akamuuliza Hushai: “Je, huu ndio upendo mshikamanifu unaomtendea rafiki yako? Kwa nini hukwenda na rafiki yako?”