-
2 Samweli 12:11, 12Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Yehova anasema hivi: ‘Tazama, ninakuletea msiba kutoka katika nyumba yako mwenyewe;+ na mbele ya macho yako mwenyewe, nami nitawachukua wake zako na kumpa mwanamume mwingine,+ naye atalala na wake zako kweupe kabisa wakati wa mchana.*+ 12 Ingawa ulifanya jambo hilo kwa siri,+ mimi nitafanya jambo hili mbele ya Waisraeli wote kweupe kabisa wakati wa mchana.’”*
-