Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 28:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Zaidi ya hayo, Ahazi alikusanya vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli; akavikata vipandevipande vyombo vya nyumba ya Mungu wa kweli,+ akaifunga milango ya nyumba ya Yehova,+ na kujitengenezea madhabahu katika kila pembe ya Yerusalemu. 25 Na katika majiji yote ya Yuda, alijenga mahali pa juu pa kuifukizia moshi wa dhabihu miungu mingine,+ akamkasirisha Yehova Mungu wa mababu zake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 55 huko Yerusalemu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Alijenga pia madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu Yerusalemu milele.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki