Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, na watumishi wa hekaluni*+ walikuwa wakaaji wa kwanza kurudi katika miliki yao kwenye majiji yao.

  • 1 Mambo ya Nyakati 9:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wote waliochaguliwa kuwa walinzi kwenye vizingiti walikuwa 212. Waliishi katika vijiji vyao kulingana na orodha ya ukoo wao.+ Daudi na Samweli yule mwonaji+ waliwaweka katika wadhifa wa kuaminiwa.

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yehoyada akafanya agano kati yake na watu wote na mfalme, kwamba wataendelea kuwa watu wa Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Aliwaweka pia walinzi wa malango+ karibu na malango ya nyumba ya Yehova, ili mtu yeyote asiye safi kwa njia yoyote ile asiingie.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki