Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 55:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Mtu mwovu na aiache njia yake+

      Na mtu mbaya mawazo yake;

      Na arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+

      Kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.*+

  • Ezekieli 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Lakini ikiwa umemwonya mtu mwadilifu asitende dhambi, naye asitende dhambi, kwa hakika ataendelea kuwa hai kwa sababu alionywa,+ na wewe utauokoa uhai wako.”*

  • Ezekieli 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie wana wa watu wako, ‘Uadilifu wa mtu mwadilifu hautamwokoa akiasi;+ wala uovu wa mwovu hautamkwaza akiacha uovu wake;+ wala hakuna mtu yeyote mwadilifu atakayeendelea kuishi kwa sababu ya uadilifu wake siku atakayotenda dhambi.+

  • Ezekieli 33:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini mtu mwovu akiacha uovu wake na kutenda mambo ya haki na ya uadilifu, ataendelea kuishi kwa sababu ya kufanya hivyo.+

  • Matendo 3:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki