21 Lakini ikiwa umemwonya mtu mwadilifu asitende dhambi, naye asitende dhambi, kwa hakika ataendelea kuwa hai kwa sababu alionywa,+ na wewe utauokoa uhai wako.”*
12 “Na wewe, mwana wa binadamu, waambie wana wa watu wako, ‘Uadilifu wa mtu mwadilifu hautamwokoa akiasi;+ wala uovu wa mwovu hautamkwaza akiacha uovu wake;+ wala hakuna mtu yeyote mwadilifu atakayeendelea kuishi kwa sababu ya uadilifu wake siku atakayotenda dhambi.+