Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 28:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Nanyi mtakuwa kitu cha kutisha na cha kudharauliwa,* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote ambako Yehova atawapeleka.+

  • 1 Wafalme 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 nitawaondolea mbali Waisraeli kutoka katika nchi ambayo nimewapa,+ na nyumba ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali kutoka mbele za macho yangu,+ na Israeli itakuwa kitu cha kudharauliwa* na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa mataifa yote.+

  • Zaburi 80:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Unawaruhusu majirani wetu wagombane kwa sababu yetu;

      Maadui wetu wanaendelea kutudhihaki wapendavyo.+

  • Ezekieli 23:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      ‘Utakunywa kikombe kipana na chenye kina cha dada yako,+

      Nawe utakuwa kitu cha kuchekwa na kudhihakiwa, na kikombe hicho kina mambo hayo kwa wingi.+

  • Danieli 9:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ee Yehova, kulingana na matendo yako yote ya uadilifu,+ tafadhali, iondoe hasira na ghadhabu yako kutoka katika jiji lako Yerusalemu, mlima wako mtakatifu; kwa maana dhambi zetu na makosa ya mababu zetu yamefanya Yerusalemu na watu wako wawe kitu cha kushutumiwa na watu wote wanaotuzunguka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki