Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 24:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Hakika watu wa Yuda walipatwa na mambo hayo kwa agizo la Yehova, ili kuwaondoa mbele za macho yake+ kwa sababu ya dhambi zote ambazo Manase alitenda,+ 4 na pia kwa sababu ya damu isiyo na hatia aliyomwaga,+ kwa maana alijaza Yerusalemu damu isiyo na hatia na Yehova hakutaka kumsamehe.+

  • Zaburi 106:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Waliendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+

      Damu ya wana wao na mabinti wao wenyewe

      Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+

      Na nchi ikachafuliwa kwa umwagaji wa damu.

  • Ezekieli 23:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Wamefanya uzinzi,*+ na mikono yao ina damu. Hawajafanya uzinzi tu na sanamu zao zinazochukiza, bali pia wamewateketeza* motoni wana wao walionizalia, kama chakula cha sanamu zao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki