2 Samweli 12:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Yoabu akaendelea kupigana na jiji la Raba+ la Waamoni,+ akaliteka jiji hilo la kifalme.*+ Ezekieli 21:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Unapaswa kuchora njia moja ili upanga ushambulie jiji la Raba+ la Waamoni, na njia nyingine ili ushambulie jiji la Yerusalemu+ lenye ngome, nchini Yuda.
20 Unapaswa kuchora njia moja ili upanga ushambulie jiji la Raba+ la Waamoni, na njia nyingine ili ushambulie jiji la Yerusalemu+ lenye ngome, nchini Yuda.