Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Hata watu wa kabila la Yuda hawakushika amri za Yehova Mungu wao;+ walifuata pia desturi zilizofuatwa na Waisraeli.+

  • Yeremia 2:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Lakini unasema, ‘Sina hatia.

      Hakika hasira yake imeniondokea.’

      Sasa ninaleta hukumu dhidi yako

      Kwa sababu unasema, ‘Sijatenda dhambi.’

  • Hosea 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lisikieni neno la Yehova, enyi Waisraeli,

      Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya wakaaji wa nchi,+

      Kwa sababu hakuna ukweli wala upendo mshikamanifu wala ujuzi kumhusu Mungu nchini.+

  • Mika 6:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Sikieni kesi ya Yehova, enyi milima,

      Enyi misingi imara ya dunia,+

      Kwa maana Yehova ana kesi dhidi ya watu wake;

      Atateta dhidi ya Israeli:+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki