-
2 Mambo ya Nyakati 36:16, 17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.
17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+
-
-
Yeremia 23:20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Hasira ya Yehova haitapoa
Mpaka atakapotekeleza na kutimiza makusudi ya moyo wake.
Mtaelewa jambo hilo waziwazi katika siku za mwisho.
-
-
Maombolezo 4:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
Anawasha moto Sayuni unaoteketeza misingi yake.+
-