Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Hata hivyo, Yehova hakuacha hasira yake kali iliyowaka dhidi ya Yuda kwa sababu ya mambo yote yenye kuchukiza ambayo Manase alifanya na kumkasirisha Mungu.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Lakini waliendelea kuwadhihaki wajumbe wa Mungu wa kweli,+ wakadharau maneno yake+ na kuwakejeli manabii wake,+ mpaka ghadhabu ya Yehova ilipokuja dhidi ya watu wake,+ hivi kwamba hawangeweza kuponywa.

      17 Kwa hiyo akamleta mfalme wa Wakaldayo awashambulie,+ ambaye aliwaua wanaume wao vijana kwa upanga+ katika nyumba ya mahali pao patakatifu;+ hakumhurumia kijana wa kiume wala bikira, mzee wala aliye dhaifu.+ Mungu alitia kila kitu mikononi mwake.+

  • Yeremia 23:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Hasira ya Yehova haitapoa

      Mpaka atakapotekeleza na kutimiza makusudi ya moyo wake.

      Mtaelewa jambo hilo waziwazi katika siku za mwisho.

  • Maombolezo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova ameonyesha ghadhabu yake;

      Amemwaga hasira yake kali.+

      Anawasha moto Sayuni unaoteketeza misingi yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki