Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 34:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kwa maana hasira ya Yehova inawaka dhidi ya mataifa yote,+

      Na ghadhabu yake dhidi ya jeshi lao lote.+

      Atawaangamiza;

      Atawachinja.+

  • Yoeli 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nitakusanya pia mataifa yote

      Na kuyaleta chini kwenye Bonde la* Yehoshafati.*

      Na humo nitawahukumu+

      Kwa ajili ya watu wangu na urithi wangu Israeli,

      Kwa maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,

      Nao waligawana nchi yangu miongoni mwao.+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kweli, hayo ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.+

  • Ufunuo 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nikamwona yule mnyama wa mwituni na wafalme wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita na yule anayeketi juu ya farasi na jeshi lake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki