Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitamletea hukumu yangu* kwa ugonjwa hatari+ na kwa umwagaji wa damu; nami nitaleta dhidi yake mvua kubwa ya mafuriko na mawe ya mvua+ na moto+ na kiberiti+ na dhidi ya wanajeshi wake na dhidi ya mataifa mengi yaliyo pamoja naye.+

  • Yoeli 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mataifa na yachochewe na kuja kwenye Bonde la* Yehoshafati;

      Kwa maana nitaketi huko ili kuyahukumu mataifa yote jirani.+

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’*+ asema Yehova,

      ‘Mpaka siku nitakapoinuka ili kuchukua nyara,*

      Kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme,

      Niwamwagie ghadhabu yangu, hasira yangu yote inayowaka;+

      Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

  • Zekaria 14:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Yehova atatoka na kupigana vita na mataifa hayo+ kama anavyopigana katika siku ya vita.+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kweli, hayo ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.+

  • Ufunuo 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nayo yakawakusanya pamoja mahali panapoitwa katika Kiebrania Har-Magedoni.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki