Isaya 62:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu: “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+ Yoeli 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo milima itadondosha divai tamu,+Vilima vitatiririka maziwa,Na vijito vyote vya Yuda vitatiririka maji. Kutoka katika nyumba ya Yehova kijito kitatiririka,+Nacho kitanywesha Bonde la* Miti ya Mishita. Amosi 9:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 ‘Tazameni! Siku zinakuja,’ asema Yehova,‘Wakati ambapo mtu anayelima kwa plau atampita anayevuna,Na anayekanyaga zabibu atampita anayepanda mbegu;+Na milima itadondosha divai tamu,+Na vilima vyote vitatiririka divai.*+
8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu: “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+
18 Siku hiyo milima itadondosha divai tamu,+Vilima vitatiririka maziwa,Na vijito vyote vya Yuda vitatiririka maji. Kutoka katika nyumba ya Yehova kijito kitatiririka,+Nacho kitanywesha Bonde la* Miti ya Mishita.
13 ‘Tazameni! Siku zinakuja,’ asema Yehova,‘Wakati ambapo mtu anayelima kwa plau atampita anayevuna,Na anayekanyaga zabibu atampita anayepanda mbegu;+Na milima itadondosha divai tamu,+Na vilima vyote vitatiririka divai.*+