Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 62:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova ameapa kiapo kwa mkono wake wa kuume, kwa mkono wake wenye nguvu:

      “Sitawapa tena maadui wako nafaka yako iwe chakula chao,

      Wala wageni hawatakunywa divai yako mpya, ambayo umetaabika kuipata.+

  • Yoeli 3:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo milima itadondosha divai tamu,+

      Vilima vitatiririka maziwa,

      Na vijito vyote vya Yuda vitatiririka maji.

      Kutoka katika nyumba ya Yehova kijito kitatiririka,+

      Nacho kitanywesha Bonde la* Miti ya Mishita.

  • Amosi 9:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 ‘Tazameni! Siku zinakuja,’ asema Yehova,

      ‘Wakati ambapo mtu anayelima kwa plau atampita anayevuna,

      Na anayekanyaga zabibu atampita anayepanda mbegu;+

      Na milima itadondosha divai tamu,+

      Na vilima vyote vitatiririka divai.*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki