Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 38:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nami hakika nitajitukuza na kujitakasa na kujijulisha mwenyewe mbele ya macho ya mataifa mengi; nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’

  • Yoeli 3:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nitakusanya pia mataifa yote

      Na kuyaleta chini kwenye Bonde la* Yehoshafati.*

      Na humo nitawahukumu+

      Kwa ajili ya watu wangu na urithi wangu Israeli,

      Kwa maana waliwatawanya miongoni mwa mataifa,

      Nao waligawana nchi yangu miongoni mwao.+

  • Yoeli 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Umati, umati umo katika bonde la* uamuzi,

      Kwa maana siku ya Yehova iko karibu katika bonde la* uamuzi.+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kwa kweli, hayo ni maneno yanayoongozwa na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme wa dunia nzima inayokaliwa, ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya siku kuu ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki